KITUNGUU SAUMU
KITUNGUU SAUMU
KITUNGUU SAUMU kimekuwa kiungo kikubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku kwa upande wa chakula kama pilau mboga za michuzi na vingine kadhalika.
Pia wengine huvitumia kama dawa lakini wengi wao hutumia wa hisia tu bila kujua kinatibu nini na kinasaidia nini moja kwa moja. Hii ni kutokana na asilimia kubwa ya watu hasa kwa jamii ya Africa hudhani kuwa kila kitu chenye ukali au uchachu basi ni dawa, kiukweli ni vingi nina tiba ila hatujui ni nini inatibu na kama ikitumiwa vipi.
- Karibu sasa uweze kujua kuhusu faida, madhara na matumizi ya Kitunguu saumu mwilini.
FAIDA ZA KITUNGUU SAUMU:
- Huondoa sumu mwilini.
Kutokana na kuwa na kemikali ambayo huitwa Alicin ambayo husaidia kuondoa sumu mwilini (free radicals) zinazo kuwepo kwenye misuli, mishipa, damu na tushu mbalimbali za mwili.
- Kuongeza Kinga za mwili.
Kama ilivyo elezwa hapo mwanzo kwa kuwa na uwezo wa kuondoa sumu basi huongeza kinga za mwili.
- Ina uwezo wa kupunguza mafuta mwilini na kwenye mishipa ya damu ( cholesterol). Hivyo kwa watu wenye tatizo la uzito mkubwa wanashauriwa kutumia sana vitunguu saumu.
- Huongeza nguvu za kiume.
Hii ni kutokana na uwezo wa kutanua mishipa ya damu hivyo pia mishipa ya damu ya uume hutanuka na kuongeza Umbo, urefu na nguvu za uume.
- Huondoa tatizo la maumivu ya kichwa.
- Huondoa mafua, maumivu ya kifua na kikohozi.
- Huondoa chunusi, madoadoa na mabaka baka katika ngozi na usoni pia.
-Husaidia mmeng'enyo wa chakula.
- Husaidia kutibu majeraha na michubuko katika mwili kwa haraka.
- Kwa wanawake huwasaidi kupunguza maumivu ya tumbo hasa katika siku zake.
- Hutibu tatizo la kutokwa kwa uchafu na harufu mbaya ukeni.
- Kinaleta ladha katika chakula.
- Kuondoa usaa kwa mwenye jipu .
- Kunafanya kazi ya Kuamsha kazi mbalimbali za mwili ( ku boost uzalishaji wa seli).
Hizi ni baadhi ya faida na umuhimu wake katika mwili.
JINSI YA KUTUMIA KITUNGUU SAUMU
1. KWA MATIBABU YA NDANI YA MWILI.
- Kwa matumizi yatakayo kuwa kama tiba ndani ya mwili kama kuondoa sumu, nguvu za kiume , ngozi n.k Fanya hivi
→ Kila asubuhi menya punje sita hadi kumi meza kama unavyomeza dawa , unaweza kuvimeza jwa kutumia maji au maziwa kama huwezi kula vikavu. Tumia wakati tumbo halina kitu ili kuvipa uwezo wa kuingia kwenye damu kwa urahisi na haraka.
Ukifanya hivi ndani ya wiki tatu lazima uone mabadiliko.
2. KWA KUONDOA CHUNUSI USONI.
- Menya punje kadhaa kisha vipondeponde hadi kuwa kama tope zito, baada ya hapo paka usoni na uache kwa muda wa dakika 15 hadi 20 ili viweze kupasua vipele na kupenya kwenye ngozi.
Fanya hivi kabla ya kuoga au muda ambao upo free.
3. KWA WANAWAKE KATIKA KUTIBU UKE.
- CHUKUA kipande/punje moja ya kutunguu saumu kisa kifunge na uzi (hakikisha uzi umekaza vizuri punje hiyo)
Kisha kiingize ukeni huku uzi ukiwa upo nje kwa ajili ya kukivuta nje.
Fanya hivi wakati wa kulala na asubuhi kitoe kwa kuvuta uzi nje.
Fanya hivi ndani ya wiki na matokeo utayaona.
4. KWA WANAOPIKA.
- Kupika Kitunguu saumu kinatakiwa kuwekwa mwishoni na kisiive sana ili kuepusha kuua Kemikali tiba (ALICIN).
Ni vizuri ukahakikisha kila chakula chako kisikose kitunguu saumu ili iwe kama tiba na kinga endelevu kwako
MADHARA YA KITUNGUU SAUMU.
Madhara ya kitunguu saumu ni kama ifuatavyo;
- Harufu mdomoni.
Kama ukila kitunguu saumu kibichi huacha harufu mdomoni na kwa wengine huwaletea kichefuchefu.
- Kwa watoto wadogo hawatakiwi kuvitumia vikiwa vibichi maana vina uwezo wa kutanua mishipa ya damu na muda mwingine kusababisha kupasuka kwa baadhi ya mishipa.
- Mzio.( Allergies)
Kuna watu wakila kitunguu saumu hupata mzio na kuharisha au kuumwa tumbo.
- kwa wengine kinaweza kuwaletea kichefuchefu na kuwapelekea kutapika.
==> Wamana wajawazito na watoto wadogo hawaruhusiwi kutumia hasa vikiwa vibichi na kwa wenye matatizo ya Mzio.
All the best in Your Health
KITUNGUU SAUMU kimekuwa kiungo kikubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku kwa upande wa chakula kama pilau mboga za michuzi na vingine kadhalika.
Pia wengine huvitumia kama dawa lakini wengi wao hutumia wa hisia tu bila kujua kinatibu nini na kinasaidia nini moja kwa moja. Hii ni kutokana na asilimia kubwa ya watu hasa kwa jamii ya Africa hudhani kuwa kila kitu chenye ukali au uchachu basi ni dawa, kiukweli ni vingi nina tiba ila hatujui ni nini inatibu na kama ikitumiwa vipi.
- Karibu sasa uweze kujua kuhusu faida, madhara na matumizi ya Kitunguu saumu mwilini.
FAIDA ZA KITUNGUU SAUMU:
- Huondoa sumu mwilini.
Kutokana na kuwa na kemikali ambayo huitwa Alicin ambayo husaidia kuondoa sumu mwilini (free radicals) zinazo kuwepo kwenye misuli, mishipa, damu na tushu mbalimbali za mwili.
- Kuongeza Kinga za mwili.
Kama ilivyo elezwa hapo mwanzo kwa kuwa na uwezo wa kuondoa sumu basi huongeza kinga za mwili.
- Ina uwezo wa kupunguza mafuta mwilini na kwenye mishipa ya damu ( cholesterol). Hivyo kwa watu wenye tatizo la uzito mkubwa wanashauriwa kutumia sana vitunguu saumu.
- Huongeza nguvu za kiume.
Hii ni kutokana na uwezo wa kutanua mishipa ya damu hivyo pia mishipa ya damu ya uume hutanuka na kuongeza Umbo, urefu na nguvu za uume.
- Huondoa tatizo la maumivu ya kichwa.
- Huondoa mafua, maumivu ya kifua na kikohozi.
- Huondoa chunusi, madoadoa na mabaka baka katika ngozi na usoni pia.
-Husaidia mmeng'enyo wa chakula.
- Husaidia kutibu majeraha na michubuko katika mwili kwa haraka.
- Kwa wanawake huwasaidi kupunguza maumivu ya tumbo hasa katika siku zake.
- Hutibu tatizo la kutokwa kwa uchafu na harufu mbaya ukeni.
- Kinaleta ladha katika chakula.
- Kuondoa usaa kwa mwenye jipu .
- Kunafanya kazi ya Kuamsha kazi mbalimbali za mwili ( ku boost uzalishaji wa seli).
Hizi ni baadhi ya faida na umuhimu wake katika mwili.
JINSI YA KUTUMIA KITUNGUU SAUMU
1. KWA MATIBABU YA NDANI YA MWILI.
- Kwa matumizi yatakayo kuwa kama tiba ndani ya mwili kama kuondoa sumu, nguvu za kiume , ngozi n.k Fanya hivi
→ Kila asubuhi menya punje sita hadi kumi meza kama unavyomeza dawa , unaweza kuvimeza jwa kutumia maji au maziwa kama huwezi kula vikavu. Tumia wakati tumbo halina kitu ili kuvipa uwezo wa kuingia kwenye damu kwa urahisi na haraka.
Ukifanya hivi ndani ya wiki tatu lazima uone mabadiliko.
2. KWA KUONDOA CHUNUSI USONI.
- Menya punje kadhaa kisha vipondeponde hadi kuwa kama tope zito, baada ya hapo paka usoni na uache kwa muda wa dakika 15 hadi 20 ili viweze kupasua vipele na kupenya kwenye ngozi.
Fanya hivi kabla ya kuoga au muda ambao upo free.
3. KWA WANAWAKE KATIKA KUTIBU UKE.
- CHUKUA kipande/punje moja ya kutunguu saumu kisa kifunge na uzi (hakikisha uzi umekaza vizuri punje hiyo)
Kisha kiingize ukeni huku uzi ukiwa upo nje kwa ajili ya kukivuta nje.
Fanya hivi wakati wa kulala na asubuhi kitoe kwa kuvuta uzi nje.
Fanya hivi ndani ya wiki na matokeo utayaona.
4. KWA WANAOPIKA.
- Kupika Kitunguu saumu kinatakiwa kuwekwa mwishoni na kisiive sana ili kuepusha kuua Kemikali tiba (ALICIN).
Ni vizuri ukahakikisha kila chakula chako kisikose kitunguu saumu ili iwe kama tiba na kinga endelevu kwako
MADHARA YA KITUNGUU SAUMU.
Madhara ya kitunguu saumu ni kama ifuatavyo;
- Harufu mdomoni.
Kama ukila kitunguu saumu kibichi huacha harufu mdomoni na kwa wengine huwaletea kichefuchefu.
- Kwa watoto wadogo hawatakiwi kuvitumia vikiwa vibichi maana vina uwezo wa kutanua mishipa ya damu na muda mwingine kusababisha kupasuka kwa baadhi ya mishipa.
- Mzio.( Allergies)
Kuna watu wakila kitunguu saumu hupata mzio na kuharisha au kuumwa tumbo.
- kwa wengine kinaweza kuwaletea kichefuchefu na kuwapelekea kutapika.
==> Wamana wajawazito na watoto wadogo hawaruhusiwi kutumia hasa vikiwa vibichi na kwa wenye matatizo ya Mzio.
All the best in Your Health
Comments
Post a Comment