Posts

Showing posts with the label AFYA

KUJIFUNGUA KWA OPERATION

KUJIFUNGUA KWA OPERATION KARIBU sana ndugu msomaji wangu wa  Afya muhimu Blog. Leo nakuletea makala inayo husu kujifungua kwa operation. Siku hizi hasa  kwa hapa taTanzan kumekuwa na wimbi kubwa  la wanawake wengi kujifungua kwa njia ya operation na imekuwa kawaida kabisa kuliko hata kwa njia ya  kawaida Katika makala hii utapata  kujifunza  kuhusu  - Sababu za kujifungua kwa operation - Madhara ya kujifungua kwa operation - Njia za kuepuka kujifungua kwa operation. Sasa  soma hapa kwa  makini.  SABABU ZA KUJIFUNGUA KWA OPERATION Kuna sababu mbalimbali za kujifungua kwa operation ila  zifuatazo ni kuu katika sababu  hizo. 1. NJIA KUWA NDOGO. Hii kwa  akina mama  wengi  huwapata   hasa  kwa  wale  wenye maumbo madogo   au  wanawake  wanene  ambapo  njia inakuwa ndogo kutokana na mafuta  mengi mwilini na kupelekea  kuuba...

Maumivu ya Kwapa, Dalili, Chanzo na Tiba

Image
MAUMIVU YA KWAPA / KIKWAPA | Chanzo, Dalili na Tiba Karibu nawe utapata kujua juu ya maumivu ya kwapa kwanzia: Sababu za Maumivu ya Kwapa/Kikwapa Wakati wa kuona daktari kuhusu Maumivu ya Kwapa/Kikwapa Tiba za nyumbani ya Maumivu ya Kwapa/Kikwapa Matibabu ya Maumivu ya Kwapa/Kikwapa Utangulizi kuhusu Maumivu ya Kwapa/Kikwapa Watu wengi hupata maumivu ya kwapa / kikwapa wakati fulani katika maisha yao. Maambukizi madogo na overexertion mara kwa mara kwenye mzizi wa maumivu. Walakini, maumivu ya kwapa inaweza kuwa ishara ya hali zingine mbaya zaidi za kiafya. Chini ya kawaida, maumivu ya kwapa yanaweza kuonyesha uvimbe wa limfu au uwepo wa saratani ya matiti . Katika nakala hii, tunashughulikia sababu za kawaida za maumivu ya kwapa, wakati wa kuonana na daktari, na jinsi ya kutibu maumivu yanapotokea. Sababu ya Maumivu ya Kwapa Sababu nyingi tofauti zinaweza kusababisha maumivu ya kwapa. Sababu nyingi zinaweza kuchangia au kusababisha maumivu ya kwap...

SABABU ZA KUPUNGUA KWA NGUVU ZA KIUME

SABABU ZA KUPUNGUA KWA NGUVU ZA KIUME Katika Makala yangu ya vyakula vinavyotibu nguvu za kiume watu wengi walikuwa wakinipigia simu wakisema “mimi sina tatzo la nguvu za kiume ila nawahi kufika kileleni” wengine wakisema “ mimi niko sawasawa ila tu nakosa hamu ya tendo la ndoa” nk Ukweli wa mambo ni kwamba 1) Kama unakosa ham ya tendo la ndoa, una tatzo la kuishiwa nguvu za kiume . Kama uume hausimami barabara , una upungufu wa nguvu za kiume 2) Kama uume unasimama na kulegea kwa mda mfupi au kwa mwanamke flani unafanya nae sawasawa ila kwa mwingine mambo hayaendi sawa, baas una tatzo la nguvu za kiume. 3) Kama uume wako hulegea tu muda mfupi baada ya kuingia ukeni, una tatzo la kuishiwa na nguvu za kiume 4) Kama unaskia maumivu wakat wa tendon a wakat uume ukisimama una tatzo na nguvu za kiume Kama unashindwa kutoa mbegu (shahawa) una tatzo la nguvu za kiume 5) Kama unashindwa kurudia tendo mara ya pili una tatzo kubwa la nguvu za kiume Iwapo una matatzo yanakutokea...

OSTEOPOROSIS

*"MADA YA LEO : UGONJWA WA OSTEOPOROSIS"* Osteoporosis ni nini  ? 🤷‍♂ Osteoporosis ni Ugonjwa Sugu wa Mwili Kujitafunia Virutubisho Vilivyo Kwenye Mifupa  na Kuvitumia Kwa Mahitaji Yake. Hali  hii  husababisha Kupungua Kwa Umahiri wa Mifupa  ( Bone Density ) na Kuifanya  iwe hafifu na Kumegeka hovyo. Ugonjwa huu ndiyo Maana Ukapatiwa Jina  la Umaarufu la *Silent Disease* Kwani Mara Nyingi  hujulikana Pale tu Mtu  anapoanguka au Kujigonga na Kuvunjika ( Kwa Urahisi Sana au Kupata Fructure  ) Tofauti na mtu  asiye na tatizo  hili. • Osteoporosis ni hali  inayojitambulisha Kwa Kupungua Kwa Ujazo wa Mifupa , Kupungua Kwa Nguvu za Mifupa na Kufanya Kuwa Rahisi Kuvunjika . • Osteoporosis huufanya Mfupa  Kuwa na Vijitundu Vingi Isivyo Kawaida Unaoweza  Kushindilika ( Kupungua Ukubwa Kwa Kugandamizwa ) Kama Sponji . • Mfupa  wa Kawaida Hujengwa Kwa Protein , Collagen na Calcium ambayo huupa Mfupa...

KUTOKWA KWA VIJIPU MARA KWA MARA

Dalili na ishara za Majipu ya mara kwa mara Majipu ni vijivimbe vyekundu, ambavyo hujaa na usaha ulioko karibu navinyweleo ambavyo ni laini, vya moto, na vinanavyouma sana. Yana ukubwa mbalimbali, kuanzia punje hadi ukubwa wa mpira wa golfu. Sehemu ya njano au nyeupe katikati ya uvimbe inaweza kuonekana wakati jipu likiwa tayari kutoa au kutokwa na usaha. Katika maambukizi makali, mtu anaweza kuhisi homa, kuvimba tezi aumtoki, pamoja na uchovu. Jipu linalojirudia mara kwa mara linaitwa ngozi-jipu. Sababu za majipu Kwa kawaida bakteria, kama vilestafilokoki, ndio husababisha jipu kutokea kwenye ngozi. Ukoloni wa bakteria huanza katika vinyweleo na inaweza kusababisha seluli ya chini ya ngozi na kuvimba. Zaidi ya hayo, maiasisi inayosababishwa na waduduwa kuruka aina ya Tumbu katika Afrika, kawaida huonesha majipu. Sababu hatarishi za ngozi-jipu ni pamoja na bakteria katika tundu la pua,ugonjwa wa kisukari, fetma, neoplasmi s lymphoproliferative, utapiamlo, na matumizi ya madawa yanayo k...

KUTOKWA KWA VIJIPU MARA KWA MARA

Dalili na ishara za Majipu ya mara kwa mara Majipu ni vijivimbe vyekundu, ambavyo hujaa na usaha ulioko karibu navinyweleo ambavyo ni laini, vya moto, na vinanavyouma sana. Yana ukubwa mbalimbali, kuanzia punje hadi ukubwa wa mpira wa golfu. Sehemu ya njano au nyeupe katikati ya uvimbe inaweza kuonekana wakati jipu likiwa tayari kutoa au kutokwa na usaha. Katika maambukizi makali, mtu anaweza kuhisi homa, kuvimba tezi aumtoki, pamoja na uchovu. Jipu linalojirudia mara kwa mara linaitwa ngozi-jipu. Sababu za majipu Kwa kawaida bakteria, kama vilestafilokoki, ndio husababisha jipu kutokea kwenye ngozi. Ukoloni wa bakteria huanza katika vinyweleo na inaweza kusababisha seluli ya chini ya ngozi na kuvimba. Zaidi ya hayo, maiasisi inayosababishwa na waduduwa kuruka aina ya Tumbu katika Afrika, kawaida huonesha majipu. Sababu hatarishi za ngozi-jipu ni pamoja na bakteria katika tundu la pua,ugonjwa wa kisukari, fetma, neoplasmi s lymphoproliferative, utapiamlo, na matumizi ya madawa...

KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI

TIBA YA KUTOA HARUFU MBAYA UKENI. Kwa ujumla inaweza kuwa Jasho au Harufu mbaya tu ya mwili lakini ile harufu kali ya wanawake kama shombo ya samaki sio kitu cha kawaida lazima uchukue hatua. Harufu hii huwa kero sana hasa kwa wanamahusiano na wanandoa mpaka wengine inapelekea kuwa na ndoa isyiyokuwa na tendo la ndoa #sexless_marriage. Harufu hii inatokea ukeni hasa wakati na baada ya kufanya tendo la ndoa na wengine wakati wa siku za hedhi na baada ya siku za hedhi. Kawaida kila mwanamke hujua harufu ya uke wake katika siku za kawaida, na harufu mbaya mfano kama shombo ya samaki ni dalili ya kwamba si shwari – Ushauri wa haraka ni kumuona dakatari. Mambo mawili yanaweza kuwa ndio huwa yanajitokeza. 1- Kwanza ni uchafu mweupe au wa njano unatokea mara kwa mara wakati wa tendo la ndoa au wakati wowote bila tendo la ndoa, unaweza kuwa na harufu au ukawa hauna harufu. 2- Pili ni harufu mbaya kama “shombo ya samaki” amabyo huweza kutokea wakati wa tendo la ndoa au wakati wowote ule....

KUTOKWA KWA VIJIPU MARA KWA MARA

Dalili na ishara Majipu ni vijivimbe vyekundu, ambavyo hujaa na usaha ulioko karibu navinyweleo ambavyo ni laini, vya moto, na vinanavyouma sana. Yana ukubwa mbalimbali, kuanzia punje hadi ukubwa wa mpira wa golfu. Sehemu ya njano au nyeupe katikati ya uvimbe inaweza kuonekana wakati jipu likiwa tayari kutoa au kutokwa na usaha. Katika maambukizi makali, mtu anaweza kuhisi homa, kuvimba tezi aumtoki, pamoja na uchovu. Jipu linalojirudia mara kwa mara linaitwa ngozi-jipu.</ref>[1][2][3] SababuEdit Kwa kawaida bakteria, kama vilestafilokoki, ndio husababisha jipu kutokea kwenye ngozi. Ukoloni wa bakteria huanza katika vinyweleo na inaweza kusababisha seluli ya chini ya ngozi na kuvimba. Zaidi ya hayo, maiasisi inayosababishwa na waduduwa kuruka aina ya Tumbu katika Afrika, kawaida huonesha majipu. Sababu hatarishi za ngozi-jipu ni pamoja na bakteria katika tundu la pua,ugonjwa wa kisukari, fetma, neoplasmi s lymphoproliferative, utapiamlo, na matumizi ya madawa yanayoka...

MADHARA YA KUTUMIA SABUNI KUSAFISHA UKENI

Wanawake ni miongoni mwa wanajamii wengi wanaopenda kutumia marashi na vitu vingine kama sabuni zenye kemikali kwa ajili ya kujirembesha. Pia, wanawake wamekuwa wakipenda usafi wao binafsi, wakitumia vitu  ambavyo baadhi yake ni hatari. Wapo baadhi ya wanawake wanaopenda kusafisha sehemu zao za siri kwa kutumia sabuni zenye kemikali, marashi (pafyumu) au kupaka mafuta. Kwa maelezo ya wataalam, hao wapo hatarini kupata magonjwa ya zinaa au ya kuambukiza. Watafiti katika Chuo Kikuu cha California, Marekani wanasema sabuni ngumu au hata za maji, pafyumu (deodorant) zinaharibu tishu muhimu zilizomo ndani kabisa ya uke na kumweka mhusika katika hatari ya kupata malengelenge, fangasi  na hata Ukimwi. Aidha, sabuni au dawa zinazouzwa na wafanyabiashara zikitangaza kuboresha uke au kuondoa harufu kwenye sehemu hizo nyeti nazo zimeelezwa kuwa na madhara.  Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Cyriel Massawe anasema sabuni au m...

VIDONDA VYA TUMBO

FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO (Peptic Ulcer Disease). Vidonda vya tumbo ni uharibifu wa ukuta wa ndani wa tumbo (mucosa), uharibifu huo unaweza kupenyeza kutoka ndani mpaka nje ya ukuta wa tumbo. Vidonda vya tumbo husababishwa na vitu vingi, lakini sababu kubwa zinazosababisha vidonda vya tumbo ni mbili (2):- 1) Maambukizi ya bakteria aitwae HELICOBACTER PYLORI (H.pylori), ambaye huambukizwa kwa njia ya mdomo kwa mdomo na njia ya choo. 2) Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za maumivu aina ya NSAID (nonsteroidal anti inflammatory drugs) mfano- ASPIRIN,PARACETAMOL,IBUPROFEN,DICLOFENAC n.k Sababu zingine zinazopelekea kupata vidonda vya tumbo ni kama -Unywaji wa pombe kupita kiasi -Uvutaji wa sigara -Kuwa na aina ya saratani tumboni inayosababisha acid kutolewa kwa wingi(gastrinoma) -Kufanyiwa upasuaji mkubwa n.k DALILI ZA UGONJWA...  1) Maumivu makali ya juu ya kitovu (kiungulia),wakati mwingine maumivu huweza kukuamsha usiku. 2) Maumivu yanayotembea kutoka tumboni ...

UGONJWA wa Pingili

UGONJWA WA PINGILI-MAUMIVU KATIKA SEHEMU MBALIMBALI... ⏩Tatizo hili husababisha maumivu makali ya mguu, mgongo, bega au Mkono. ⏩Maumivu haya huwa ni makali mno, katika mazingira mengine huja na kutoweka, katika mazingira mengine maumivu haya huwa endelevu. ⏩ Wengi tumeshawahi kusikia au kuona ndugu, rafiki, jamaa, jirani fulani akiumwa mguu, mkono, bega au mgongo tena kwa maumivu makali sana. ⏩Wengi wamehangaika hospitali nyingi bila mafanikio,maombezi,waganga bila mafanikio.Wengine wamepooza kabisa miguu na kupoteza pesa nyingi... Ebu tuangalie kidogo kuhusu UTI wa MGONGO.. MGAWANYIKO WA UTI WA MGONGO NA MATOKEO YA DISCK ZINAPOCHEZA 💥Uti wa mgongo umegawanyika katika aina kuu zipatazo nne (4) za pingili ..Spinal Vertebrae.. ⏩Cervical Curve: Hili ni eneo la juu la uti wa mgongo, Eneo hili linaanzia uti wa mgongo unapokutana na kichwa na kuishia eneo la mwisho la Shingo, kwa lugha nyepesi ndilo eneo linalomiliki shingo, pingili zilizopo katika eneo hili zinaitwa *Cervical Ve...

KISUKARI (diabetes)

UGONJWA WA KISUKARI.    (DIABETES). Ugonjwa wa kisukari  ni moja  kati ya magonjwa tishio sana  hasa kwa karne hizi ambapo  Ugonjwa huu haichagui rika  na  kila  mtu anaweza kuupata  kutokana  na  sababu  mbalimbali. KISUKARI inaweza  kuwa  sukari imeshuka  au imepanda mwilini na hivyo  kusababisha  mwili  kutokuwa  na ufanisi mzuri wa kazi zake  za  kila  siku. AINA  ZA  UGONJWA WA KISUKARI. KUNA aina kuu mbili  za  ugonjwa wa kisukari   Ambazo ni Diabetes Mellitus na Diabetes Insipidus. 1. DIABETES MELLITUS. HII ni kisukari kilicho zoeleka sana  na  asilimia  kubwa  ya  watu  hasa  watu wazima   hupata   huu   kutokana  na  Mfumo wa maisha. – Aina hii ya  kisukari  imegawanyika katika makundi mawili. i.) Diabetes Type 1. Hii  ni  ki...

FAIDA YA KAROTI MWILINI

FAIDA YA KULA KAROTI KWA AFYA YA MWILI WAKO. Asilimia kubwa tunapenda kutumia karoti katika kuunga katika mboga ya nyama na si kuila karoti kama karoti. wataalamu wanashauri ili uwe na afya bora unatakiwa ule karoti sita kwa wiki au moja kwa siku. Unaweza kula karoti ya kuchemshaa,juisi au mbichi Faida ya kula karoti ni kama zifuatazo i. Karoti husaidia kuimarisha macho kuona vizuri, mfano tatizo la kutoona vizuri usiku, pia inasaidia kuondoa matatizo ya allergy kwenye macho mfano macho kuwasha sababu ya vumbi. Karoti inarutubisha cells mwilini na kuzifanya zisizeeke haraka. Hii inatokana na  uwepo wa Vitamin A ambayo ni muhimu katika kuimarisha uwezo wa macho kuona. ii. Huifanya ngozi iwe nzui na yenye afya, kama utatumia kurutubisha ngozi yako, ikwangue kwa kutumia grater kiasi unachotaka tia asali mbichi kijiko 1 kikubwa (cha kulia chakula) mafuta ya nzai au olive kijiko kimoja kikubwa na limao kijiko 1 kikubwa changanya vizuri, kisha itumie kusugua mwilini sehemu yo...

UGONJWA WA KISUKARI

UGONJWA WA KISUKARI.    (DIABETES). Ugonjwa wa kisukari  ni moja  kati ya magonjwa tishio sana  hasa kwa karne hizi ambapo  Ugonjwa huu haichagui rika  na  kila  mtu anaweza kuupata  kutokana  na  sababu  mbalimbali. KISUKARI inaweza  kuwa  sukari imeshuka  au imepanda mwilini na hivyo  kusababisha  mwili  kutokuwa  na ufanisi mzuri wa kazi zake  za  kila  siku. AINA  ZA  UGONJWA WA KISUKARI. KUNA aina kuu mbili  za  ugonjwa wa kisukari   Ambazo ni Diabetes Mellitus na Diabetes Insipidus. 1. DIABETES MELLITUS. HII ni kisukari kilicho zoeleka sana  na  asilimia  kubwa  ya  watu  hasa  watu wazima   hupata   huu   kutokana  na  Mfumo wa maisha. – Aina hii ya  kisukari  imegawanyika katika makundi mawili. i.) Diabetes Type 1. Hii  ni  ki...

KITUNGUU SAUMU

KITUNGUU SAUMU KITUNGUU SAUMU kimekuwa kiungo  kikubwa  sana  kwenye maisha  yetu ya kila siku kwa upande wa chakula kama pilau mboga za michuzi na vingine kadhalika. Pia  wengine huvitumia kama  dawa  lakini  wengi wao  hutumia  wa  hisia  tu  bila kujua   kinatibu nini na  kinasaidia  nini moja kwa moja. Hii ni  kutokana na  asilimia kubwa  ya watu  hasa  kwa jamii ya  Africa  hudhani  kuwa  kila kitu chenye ukali au uchachu basi ni dawa, kiukweli  ni  vingi nina tiba  ila  hatujui ni  nini inatibu na  kama ikitumiwa  vipi. - Karibu sasa uweze  kujua kuhusu faida, madhara na matumizi ya Kitunguu saumu mwilini.   FAIDA ZA KITUNGUU SAUMU: - Huondoa sumu mwilini. Kutokana  na  kuwa na  kemikali  ambayo huitwa Alicin ambayo  husaidia kuondoa  sumu mwilini  (free radicals...

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

UPUNGUFU/UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME Karibu sana ndugu msomaji wangu, Na leo tunaangalia  swala zima la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume. - Katika dunia ya sasa  Upungufu wa Nguvu za Kiume  ndilo limekuwa tatizo kubwa  hasa kwa  vijana wengi  na kuhangaika huku na huko kutafuta suluhisho. Hii huwafanya  vijana wengi  kuanguka  katika ndoa, mahusiano na hata  kiimani  kwa  kushindwa  kuwa na nguvu za kiume. NGUVU ZA KIUME NI NINI...? Nguvu za kiume ni  ile hali ya mwanaume kuwa na uwezo wa kisimamisha uume na  kuweza kuzalisha  na  hata  kujamiiana kwa ufasaha.   SABABU ZA UPUNGUFU/UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME. - Msongo wa mawazo. Msongo wa mawazo unasababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana kupungu kwa  hisia za  kujamiiana  na  pengine  kumaliza   kabisa hizia  hizo  na  mtu  kujikuta  hana  nguvu za kiume. ...

KUTOKWA NA HARUFU MBAYA MDOMONI

KUTOA HARUFU MBAYA MDOMONI. Kutokwa na harufu mbaya mdomoni  ni moja ya tatizo  ambayo  baadhi ya watu katika jamii hupata  na  kuwafanya  upweke kutokana na  adha hiyo.   SABABU YA KUTOKWA NA HARUFU MBAYA MDOMONI. Kuna sababu mbalimbali zinazo sababisha mtu kutokwa na harufu mbaya mdomoni Lakini sababu kuu ni  FANGASI. 1. Fangasi. Faghasi  kwa kawaida  huwa  ikiwepo sehemu yoyote ya mwili  hufanya  sehemu hiyo kutoa harufu mbaya. Basi fangasi hii ikikaa  katika mdomo kwenye Fizi, Meno au ulimi  hufanya   kutuka kwa harufu mbaya mdomoni ambayo  hata mtu akiswaki mara nyingi au kusukutua bado itakuwa  haisaidii kitu. 2. Kutosafisha kinywa mara kwa mara. Kusafisha kinywa mara kwa mara  husaidia  kuondoa mabaki ya chakula  ambayo yakikaa kwa muda mrefu kwenye kinywa basi husababisha  kutokwa kwa harufu. 3. Kula vitu vinavyo weza kutoa harufu kali kinywani. ...

MTINDIO WA UBONGO

Kupooza ubongo kitaalamu ni Cerebral plasy (CP), ni hali ya kupooza ya moja kwa moja ya viungo vya mwili inayotokana na sehemu ya ubongo(seli)inayotawala viungo hivyo kufa katika kipindi cha mwanzo cha maisha(childhood). AU ni aina ya tatizo la mishipa ya fahamu inayoathiri misuli ya mwili inayotokana na selli za ubongo wa mtoto kufa au kutengenezeka vibaya katika kipindi cha mwisho wa ujauzito(3rd trimester), kipindi cha kuzaliwa au kipindi cha miaka miwili ya mwanzo wa mtoto. Hii inatoka na sehemu ya ubongo kukosa oksijeni na virutubisho vya kutosha inayopelekea celli hizo kufa. Tunajua kuwa ubongo una kazi mbalimbali mfano kufikilia,kufanya maamuzi(decion making) pia inatawala sehemu mbalimbali ya viungo vya mwanadamu,mfano ubungo wa nyuma unahusika na kuona kama wakati mtoto akichelewa kulia cell za ubongo wa nyuma (occipital) zikafa mtoto huyu baadae atakuwa na matatizo ya kuona. Visababishi. Vitu vingi vinaweza kusababisha ubongo kupooza, navyo ni katika kipindi cha ujauzi...

MAUMIVU YA KORODANI

*Fahamu maumivu ya korodani kiundani* Kuna wakati mwanaume huweza kupata maumivu ya korodani, ambapo inawezekana ikawa ni maumivu kwa korodani moja au zote mbili. Maumivu hayo yanaweza kutokea endapo korodani zitakuwa zimeumizwa au kupata maambukizi. Aidha, maambukizi hayo huweza kuwa makali na ya muda mfupi au makali kwa muda fulani halafu yanapoa yenyewe, lakini pia huweza kuwa ni maumivu ambayo siyo makali ila ni ya muda mrefu na yanayomnyima raha mhusika. Mbali na hayo, pia maumivu ya korodani huweza kuwa makali kiasi kwamba yatahitajika matibabu ya dharura mfano korodani inavimba kama jipu kubwa, ikiambatana na maumivu makali na homa, tatizo hili kitaalam huitwa *‘Fournier’s gangrene* ’. Kuna wakati mhusika anaweza kupata maumivu ya korodani mara inapotokea korodani ikajinyonga yenyewe na kusababisha mhusika kupata maumivu makali ya ghafla yanayoelekea hadi tumboni. Kimsingi maumivu ya korodani huchangiwa na vyanzo mbalimbali, lakini maumivu sugu ni yale yanayochukua ...

TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA MKOJO

Lifahamu tatizo la kuziba kwa mrija wa mkojo Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/ Kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa pia urethral stricture. Visababishi na vihatarishi vya tatizo hili Kusinyaa kwa mrija wa mkojo husababishwa na kovu linalotokea katika sehemu ya mrija baada ya mtu kuumia, kufanyiwa upasuaji au kupona magonjwa ya zinaa. Inaweza pia kusababishwa na uvimbe karibu na eneo la kinena unaokandamiza mrija. Vihatarishi vya tatizo hili ni pamoja na  Kuwa na historia ya kuugua magonjwa ya zinaa  kuwahi kuwekewa mipira ya mkojo au vifaa vya namna hiyo (catheter au cystoscope) - Kuvimba tezi dume (BPH) kwa wanaume - Kuwa na historia ya kuumia au kupata majeraha maeneo ya kinena. Hii hutokea sana kwa wale wanaopata ajali wakiendesha baiskeli - Kupata maambukizi ya mara k...