OSTEOPOROSIS
*"MADA YA LEO : UGONJWA WA OSTEOPOROSIS"*
Osteoporosis ni nini ? 🤷♂
Osteoporosis ni Ugonjwa Sugu wa Mwili Kujitafunia Virutubisho Vilivyo Kwenye Mifupa na Kuvitumia Kwa Mahitaji Yake.
Hali hii husababisha Kupungua Kwa Umahiri wa Mifupa ( Bone Density ) na Kuifanya iwe hafifu na Kumegeka hovyo.
Ugonjwa huu ndiyo Maana Ukapatiwa Jina la Umaarufu la *Silent Disease* Kwani Mara Nyingi hujulikana Pale tu Mtu anapoanguka au Kujigonga na Kuvunjika ( Kwa Urahisi Sana au Kupata Fructure ) Tofauti na mtu asiye na tatizo hili.
• Osteoporosis ni hali inayojitambulisha Kwa Kupungua Kwa Ujazo wa Mifupa , Kupungua Kwa Nguvu za Mifupa na Kufanya Kuwa Rahisi Kuvunjika .
• Osteoporosis huufanya Mfupa Kuwa na Vijitundu Vingi Isivyo Kawaida Unaoweza Kushindilika ( Kupungua Ukubwa Kwa Kugandamizwa ) Kama Sponji .
• Mfupa wa Kawaida Hujengwa Kwa Protein , Collagen na Calcium ambayo huupa Mfupa Ugumu.
• Osteoporosis husababisha Mifupa Kuwa Dhaifu na Inayovunjika Kirahisi Kiasi Kwamba Kuanguka Kidogo tu au Kujikunja ama au hata Kukohoa Kunaweza Kusababisha Mvunjiko.
• Mvunjiko Unaweza Kuwa na Muundo wa Ufa ( Kama Mvunjiko wa Nyonga ) Uti wa Mgongo , Mbavu na Vifundo Vya Mikono ni Sehemu ambazo huathiriwa Zaidi na Osteoporosis Ingawa Mfupa wa Sehemu Nyingine Yoyote Pia huweza Kuathiriwa.
• Mifupa ya Mwili Kwa Wakati Wowote huwa na Mabadiliko Ya Kujengeka , Kujiimarisha na Kujirekebisha ( Bone Remodeling ) Kwa Kupitia Mzunguko Maalum wa Kusagika ( Osteoclast ) ambapo hutoa Madini yake ya Calcium Katika Mzunguko wa Damu.
• Osteoporosis ni Upungufu wa Umahiri wa Mifupa ( Low Bone Mass ) Hutokea Pale ambapo Usagaji wa Mifupa ( Osteclast ) Uko Juu Zaidi ya Ujengekaji wa Mifupa ( Osteoblast ) .
• Binadamu hufika Kilele Cha Ujenzi wa Mifupa Kati ya Umri wa Miaka 25 - 30 , Kwani Kabla ya Umri huu Mifupa hujijenga za Kusagika Kwa Kiwango Kidogo Kama inavyotakiwa .
• Baada ya Umri wa Miaka 30 Usagikaji wa Mifupa huuzidia Kwa Kina Kikubwa Kuliko Ujengekaji wa Mifupa .
• Hivyo hupelekea Upungufu wa Umahiri wa Mifupa Unaojulikana kama Decrease Bone Density .
• Hii inatuonyesha Jinsi gani Madini ya Calcium ni Muhimu Kwani Ulaji wa Chakula Kisichojumuisha Calcium na Vitamin D ( Vitamin D husaidia Unyonyaji wa Calcium Kutoka Kwenye Chakula ) husababisha Mwili Kutumia Calcium inayohifadhika Kwenye Mifupa .
• Ili Calcium iweze Kujitoa Katika Mifupa ( Hifadhi Yake ) na Kutumika Mwilini ( Katika Mzunguko wa Damu ) inabidi Mifupa Ipitie hatua ya Kujisaga na Kutoa Kirutubisho hicho Kinachohitajika na hivyo Kutuacha na Mifupa Dhaifu.
Inaendelea ..................
Osteoporosis ni nini ? 🤷♂
Osteoporosis ni Ugonjwa Sugu wa Mwili Kujitafunia Virutubisho Vilivyo Kwenye Mifupa na Kuvitumia Kwa Mahitaji Yake.
Hali hii husababisha Kupungua Kwa Umahiri wa Mifupa ( Bone Density ) na Kuifanya iwe hafifu na Kumegeka hovyo.
Ugonjwa huu ndiyo Maana Ukapatiwa Jina la Umaarufu la *Silent Disease* Kwani Mara Nyingi hujulikana Pale tu Mtu anapoanguka au Kujigonga na Kuvunjika ( Kwa Urahisi Sana au Kupata Fructure ) Tofauti na mtu asiye na tatizo hili.
• Osteoporosis ni hali inayojitambulisha Kwa Kupungua Kwa Ujazo wa Mifupa , Kupungua Kwa Nguvu za Mifupa na Kufanya Kuwa Rahisi Kuvunjika .
• Osteoporosis huufanya Mfupa Kuwa na Vijitundu Vingi Isivyo Kawaida Unaoweza Kushindilika ( Kupungua Ukubwa Kwa Kugandamizwa ) Kama Sponji .
• Mfupa wa Kawaida Hujengwa Kwa Protein , Collagen na Calcium ambayo huupa Mfupa Ugumu.
• Osteoporosis husababisha Mifupa Kuwa Dhaifu na Inayovunjika Kirahisi Kiasi Kwamba Kuanguka Kidogo tu au Kujikunja ama au hata Kukohoa Kunaweza Kusababisha Mvunjiko.
• Mvunjiko Unaweza Kuwa na Muundo wa Ufa ( Kama Mvunjiko wa Nyonga ) Uti wa Mgongo , Mbavu na Vifundo Vya Mikono ni Sehemu ambazo huathiriwa Zaidi na Osteoporosis Ingawa Mfupa wa Sehemu Nyingine Yoyote Pia huweza Kuathiriwa.
• Mifupa ya Mwili Kwa Wakati Wowote huwa na Mabadiliko Ya Kujengeka , Kujiimarisha na Kujirekebisha ( Bone Remodeling ) Kwa Kupitia Mzunguko Maalum wa Kusagika ( Osteoclast ) ambapo hutoa Madini yake ya Calcium Katika Mzunguko wa Damu.
• Osteoporosis ni Upungufu wa Umahiri wa Mifupa ( Low Bone Mass ) Hutokea Pale ambapo Usagaji wa Mifupa ( Osteclast ) Uko Juu Zaidi ya Ujengekaji wa Mifupa ( Osteoblast ) .
• Binadamu hufika Kilele Cha Ujenzi wa Mifupa Kati ya Umri wa Miaka 25 - 30 , Kwani Kabla ya Umri huu Mifupa hujijenga za Kusagika Kwa Kiwango Kidogo Kama inavyotakiwa .
• Baada ya Umri wa Miaka 30 Usagikaji wa Mifupa huuzidia Kwa Kina Kikubwa Kuliko Ujengekaji wa Mifupa .
• Hivyo hupelekea Upungufu wa Umahiri wa Mifupa Unaojulikana kama Decrease Bone Density .
• Hii inatuonyesha Jinsi gani Madini ya Calcium ni Muhimu Kwani Ulaji wa Chakula Kisichojumuisha Calcium na Vitamin D ( Vitamin D husaidia Unyonyaji wa Calcium Kutoka Kwenye Chakula ) husababisha Mwili Kutumia Calcium inayohifadhika Kwenye Mifupa .
• Ili Calcium iweze Kujitoa Katika Mifupa ( Hifadhi Yake ) na Kutumika Mwilini ( Katika Mzunguko wa Damu ) inabidi Mifupa Ipitie hatua ya Kujisaga na Kutoa Kirutubisho hicho Kinachohitajika na hivyo Kutuacha na Mifupa Dhaifu.
Inaendelea ..................
Comments
Post a Comment