SABABU ZA KUPUNGUA KWA NGUVU ZA KIUME

SABABU ZA KUPUNGUA KWA NGUVU ZA KIUME



Katika Makala yangu ya vyakula vinavyotibu nguvu za kiume watu wengi walikuwa wakinipigia simu wakisema “mimi sina tatzo la nguvu za kiume ila nawahi kufika kileleni” wengine wakisema “ mimi niko sawasawa ila tu nakosa hamu ya tendo la ndoa” nk

Ukweli wa mambo ni kwamba

1) Kama unakosa ham ya tendo la ndoa, una tatzo la kuishiwa nguvu za kiume .
Kama uume hausimami barabara , una upungufu wa nguvu za kiume

2) Kama uume unasimama na kulegea kwa mda mfupi au kwa mwanamke flani unafanya nae sawasawa ila kwa mwingine mambo hayaendi sawa, baas una tatzo la nguvu za kiume.

3) Kama uume wako hulegea tu muda mfupi baada ya kuingia ukeni, una tatzo la kuishiwa na nguvu za kiume

4) Kama unaskia maumivu wakat wa tendon a wakat uume ukisimama una tatzo na nguvu za kiume
Kama unashindwa kutoa mbegu (shahawa) una tatzo la nguvu za kiume

5) Kama unashindwa kurudia tendo mara ya pili una tatzo kubwa la nguvu za kiume

Iwapo una matatzo yanakutokea jua kabsa una tatzo la NGUVU ZA KIUME sasa ni muda muafaka wa kuanza kutafta matibabu sahihi bila kuchelewa na unapoanza kujitibu ni vzuri zaid kabla mambo hayajawa mabaya zaid unakuwa unajitengenezea mazingira ya kupona lakini chelewa chelewa ….utakuta mwana si wako

SABABU ZA KUPUNGUA KWA NGUV ZA KIUME



Kuna sababu za kimwili na sababu za kisaikologia

1) Viagra
2) Punyeto
3) Maradhi ya mishipa ya

           damu

4) Shinikizo la dam la

           kupanda na kushuka

  5) Unene mkubwa na

            kitambi

6) Kisukari

         Maradhi ya moyo

           Sigara, pombe na

 7) madawa ya kulevya

         Kuendesha magar

 makubwa kwa mda mrefu

8) Lishe mbovu, mfumo

 mbaya wa maisha, umri,

 9) majeraha na vidonda vya

 tumbo

Msongo wa mawazo na

 vidonda vya tumbo

10) Ngiri na maradhi ya

 zinaa

MATIBABU



Hakika mpaka sasa unaweza kujijua tatzo lako limetokana na nin ili uweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu afya yako.
Lakin kwanza, mchakato wako wa kutafta matibabu upitie njia zifuatazo

Salimu amri kuwa una tatzo na usijione huna tatzo kumbe una tatzo litakuwa kubwa zaid utajilaumu bdae
Thamini afya yako ya mwili na akili

Vijue vyanzo vya tatzo lako maana ukishajua chanzo umepiga hatua kubwa katika matibabu

Jadili na mke wako au mwenza wako, kuna baadhi ya wanaume wengi mno wanaogopa kutafta ufumbuzi wa tatzo hilo wakiona ni unyonge mkubwa sana na wengine huona aibu kabisa kwa wake zao matokeo yake tatzo huwa kubwa na baadae kuwa shida kutibika

JITIBU KIASILI KWA DAWA BORA KABISA  INAITWA LIVEN ALKALINE COFFEE NA COMPLETE PHOTO ENERGIZER
Kuishiwa nguvu za kiume sio ugonjwa bali ni dalili za ugonjwa na ndo maana kabla hatujakupa tiba lazima tujue kwanza chanzo cha tatzo lako hasa na kama tatzo lako ni tata tutakushauri pia cha kufanya.

Comments

Popular posts from this blog

UGONJWA wa Pingili

KUJIFUNGUA KWA OPERATION

FAIDA YA KAROTI MWILINI