UGONJWA WA KISUKARI
UGONJWA WA KISUKARI.
(DIABETES).
Ugonjwa wa kisukari ni moja kati ya magonjwa tishio sana hasa kwa karne hizi ambapo Ugonjwa huu haichagui rika na kila mtu anaweza kuupata kutokana na sababu mbalimbali.
KISUKARI inaweza kuwa sukari imeshuka au imepanda mwilini na hivyo kusababisha mwili kutokuwa na ufanisi mzuri wa kazi zake za kila siku.
AINA ZA UGONJWA WA KISUKARI.
KUNA aina kuu mbili za ugonjwa wa kisukari Ambazo ni Diabetes Mellitus na Diabetes Insipidus.
1. DIABETES MELLITUS.
HII ni kisukari kilicho zoeleka sana na asilimia kubwa ya watu hasa watu wazima hupata huu kutokana na Mfumo wa maisha.
– Aina hii ya kisukari imegawanyika katika makundi mawili.
i.) Diabetes Type 1.
Hii ni kisukari ambacho mtu hupata kutokana na kongosho kushindwa kufanya kazi vizuri kwa kushindwa kutoa kemikali ambayo hutumika kufanya msawazo wa viwango vya sukari katika mwili. Hormone hii huitwa INSULIN ambayo hugeuza Glucose kuwa Glycogen na kuhifadhiwa mwilini. Lakini inapo feli kutolewa basi mtu hukumbwa na Tatizo la kujawa na sukari nyingi mwilini.
ii.) Diabetes Type 2.
Hii ni aina ya kisukari ambapo huwapata sanasana watoto na vijana wenye umri mdogo.
Hii ni ile Sukari ya kurithi ambapo mtoto huzaliwa nao.
Hii ni kutokana na kurithi kutoka kwa mzazi au vinasaba kutoka katika ukoo wake.
2. DIABETES INSIPIDUS.
AINA hii ya Kisukari huwapata hasa watu wanao tumia Pombe kupita kiasi na wanao tumia sigara au madawa ya kulevya kupita kiasi na hivyo kufanya figo kushindwa kuchuja damu na kuachilia maji mengi kutoka kwa wingi mwilini hasa kwa njia ya mkojo.
→ Figo ni Ogani Muhimu sana katija swala la kuchuja damu na kuisafisha kwa kutoa sukari zilizi zidi na kuondoa takataka nyingine kwenye damu.
Kwa watumiaji wa madawa ya kulevya na Pombe huwa wanaathiri Ubongo Ambapo Tezi kuu Ya PITUITARY GLAND iliyopo katika ubongo hushindwa kutoa homoni Inayoitwa ADH (Anti-duretic hormome) au Vapopressin ambayo kazi yake ni kukabiliana na Vitu vyovyote vile vinavyo sababisha Upotevu wa maji mwilini, hivyo ikihitilafiwa na Keimikali hizo basi hupelekea Maji kutoka kwa wingi na sukari nyingi kuwepo mwilini.
- Wagonjwa wa aina hii ya kisukari huwa wanatoa mkojo ulio safi na mara nyingi hupata kiu na kusikia haja kila mara.
SABABU ZA KISUKARI.
KISUKARI kinasababishwa na sababu kuu Mbili. Nazo ni :-
1. MFUMO WA MAISHA.
MIFUMO ya maisha ya watu wengi huwapelekea kupata ugonjwa wa kisukari kwa matumizi ya vyakula vilivyo na asilimia kubwa ya kuleta ugonjwa wa kisukari mwilini.
Mfano kama:
- Matumizi ya sukari nyingi kwenye vyakula.
- Matumizi ya vyakula vya viwandani ambavyo vingi huwekwa sukari nyingi kama Keki, biscuit, Soda na hata baadhi ya peremende.
- Matumizi ya pombe na vinywaji kama soda na Juices za viwandani.
→ Pia kuwa na uzito mkubwa husabaisha kupata kwa kisukari kwa kuwa mtu huwa na uzito ambao hauendani na Umri na kimo chake. Hivyo watu wenye OBESITY wamo hatarini kuupata ugonjwa huu kama hawatazingatia mlo na mazoezi.
2. KURITHI.
KAMA ilivyo elezwa hapo awali kuhusu kisukari cha kurithi ambapo ndicho kinacho fanya marika yote kuwa na uwezekano wa kupata ugonjwa huu ambapo mtoto huzaliwa nao kwa kurithi katika ukoo wake. Hii ni Maswala ya vinasaba vinavyo tembea kutoka kizazi hadi kizazi haina tofauti kama mtu mwenye Albinism (Albino) anavyo pata na huu ugonjwa ndivyo unavyo patikana.
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
- Kujisaidia haja ndogo mara kwa mara.
Hii ni kwa sababu mwili hushindwa kutunza maji.
- Kuhisi kiu mara kwa mara.
- Kuhisi njaa mara kwa mara.
- Kupungua Uzito.
- Shinikizo la damu.
- Kupata maambukizi ya magonjwa mengine ovyo ovyo.
MADHARA YA KISUKARI.
Kisukari kina madhara kadhaa nayo ni:
- Kifo.
Kama mgonjwa hatochukua tahadhari mapema basi anauweza kufariki pindi kadri itakavyo kuwa ikzidi mwilini.
- Mishipa ya damu Kubana.
Hii huitwa Artheroclerosis ambapo mishipa ya damu hushindwa kupanuka na kupelekea presha ya damu kuongezeka na moyo kwenda mbio huku ukijitahidi kupitisha damu katika mishipa hiyo.
- Macho kutokuona vizuri.
- Figo kushindwa kufanya kazi vuzuri na pengine kufeli kabisa.
- Ukosefu wa Nguvu za kiume na kushindwa kuzalisha mbegu za kiume vizuri na kupelekea Ugumba.
- Kuwa na Vidonda visivyo pona.
- Kisukari pia husababisha Kiharusi (Stroke)
==> NDIO maana huwa tunashauriwa kuangalia afya zetu mara kwa mara ili kujua maendele ya miili yetu.
ILI KUEPUKANA A TATIZO LA KISUKARI...
- Badili mfumo wa maisha kwa kula vyakula vilivyo na lishe kamili na kupunguza matumizi ya sukari kupita kiasi.
- Fanya japo mazoezi kwa nusu saa kwa siku. Ila kama huwa unahisi uvivu basi tembea japo kwa nusu saa kwa siku ili mwili uchangamke na kufanya kuondoa mafuta na sukari zinazo baki mwilini kwa kuzigeuza kuwa nishati ya mwili.
- Epuka matumizi ya Pombe, Sigara na madawa ya kulevya kupita kiasi.
-Epuka matumizi ya vinywaji vya viwandani hasa soda na juices, vinywaji hivi huwa na sukari nyingi sana katika utengenezaji wake.
- Kula matunda angalau aina tatu tofauti tofauti kila siku na mbogamboga.
- Epuka matumizi ya Mafuta mengi hasa yale yatokanayo na wanyama.
- Tumia mafuta yatokanayo na mimea kama alizeti na karanga.
All the best in Your Health
(DIABETES).
Ugonjwa wa kisukari ni moja kati ya magonjwa tishio sana hasa kwa karne hizi ambapo Ugonjwa huu haichagui rika na kila mtu anaweza kuupata kutokana na sababu mbalimbali.
KISUKARI inaweza kuwa sukari imeshuka au imepanda mwilini na hivyo kusababisha mwili kutokuwa na ufanisi mzuri wa kazi zake za kila siku.
AINA ZA UGONJWA WA KISUKARI.
KUNA aina kuu mbili za ugonjwa wa kisukari Ambazo ni Diabetes Mellitus na Diabetes Insipidus.
1. DIABETES MELLITUS.
HII ni kisukari kilicho zoeleka sana na asilimia kubwa ya watu hasa watu wazima hupata huu kutokana na Mfumo wa maisha.
– Aina hii ya kisukari imegawanyika katika makundi mawili.
i.) Diabetes Type 1.
Hii ni kisukari ambacho mtu hupata kutokana na kongosho kushindwa kufanya kazi vizuri kwa kushindwa kutoa kemikali ambayo hutumika kufanya msawazo wa viwango vya sukari katika mwili. Hormone hii huitwa INSULIN ambayo hugeuza Glucose kuwa Glycogen na kuhifadhiwa mwilini. Lakini inapo feli kutolewa basi mtu hukumbwa na Tatizo la kujawa na sukari nyingi mwilini.
ii.) Diabetes Type 2.
Hii ni aina ya kisukari ambapo huwapata sanasana watoto na vijana wenye umri mdogo.
Hii ni ile Sukari ya kurithi ambapo mtoto huzaliwa nao.
Hii ni kutokana na kurithi kutoka kwa mzazi au vinasaba kutoka katika ukoo wake.
2. DIABETES INSIPIDUS.
AINA hii ya Kisukari huwapata hasa watu wanao tumia Pombe kupita kiasi na wanao tumia sigara au madawa ya kulevya kupita kiasi na hivyo kufanya figo kushindwa kuchuja damu na kuachilia maji mengi kutoka kwa wingi mwilini hasa kwa njia ya mkojo.
→ Figo ni Ogani Muhimu sana katija swala la kuchuja damu na kuisafisha kwa kutoa sukari zilizi zidi na kuondoa takataka nyingine kwenye damu.
Kwa watumiaji wa madawa ya kulevya na Pombe huwa wanaathiri Ubongo Ambapo Tezi kuu Ya PITUITARY GLAND iliyopo katika ubongo hushindwa kutoa homoni Inayoitwa ADH (Anti-duretic hormome) au Vapopressin ambayo kazi yake ni kukabiliana na Vitu vyovyote vile vinavyo sababisha Upotevu wa maji mwilini, hivyo ikihitilafiwa na Keimikali hizo basi hupelekea Maji kutoka kwa wingi na sukari nyingi kuwepo mwilini.
- Wagonjwa wa aina hii ya kisukari huwa wanatoa mkojo ulio safi na mara nyingi hupata kiu na kusikia haja kila mara.
SABABU ZA KISUKARI.
KISUKARI kinasababishwa na sababu kuu Mbili. Nazo ni :-
1. MFUMO WA MAISHA.
MIFUMO ya maisha ya watu wengi huwapelekea kupata ugonjwa wa kisukari kwa matumizi ya vyakula vilivyo na asilimia kubwa ya kuleta ugonjwa wa kisukari mwilini.
Mfano kama:
- Matumizi ya sukari nyingi kwenye vyakula.
- Matumizi ya vyakula vya viwandani ambavyo vingi huwekwa sukari nyingi kama Keki, biscuit, Soda na hata baadhi ya peremende.
- Matumizi ya pombe na vinywaji kama soda na Juices za viwandani.
→ Pia kuwa na uzito mkubwa husabaisha kupata kwa kisukari kwa kuwa mtu huwa na uzito ambao hauendani na Umri na kimo chake. Hivyo watu wenye OBESITY wamo hatarini kuupata ugonjwa huu kama hawatazingatia mlo na mazoezi.
2. KURITHI.
KAMA ilivyo elezwa hapo awali kuhusu kisukari cha kurithi ambapo ndicho kinacho fanya marika yote kuwa na uwezekano wa kupata ugonjwa huu ambapo mtoto huzaliwa nao kwa kurithi katika ukoo wake. Hii ni Maswala ya vinasaba vinavyo tembea kutoka kizazi hadi kizazi haina tofauti kama mtu mwenye Albinism (Albino) anavyo pata na huu ugonjwa ndivyo unavyo patikana.
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
- Kujisaidia haja ndogo mara kwa mara.
Hii ni kwa sababu mwili hushindwa kutunza maji.
- Kuhisi kiu mara kwa mara.
- Kuhisi njaa mara kwa mara.
- Kupungua Uzito.
- Shinikizo la damu.
- Kupata maambukizi ya magonjwa mengine ovyo ovyo.
MADHARA YA KISUKARI.
Kisukari kina madhara kadhaa nayo ni:
- Kifo.
Kama mgonjwa hatochukua tahadhari mapema basi anauweza kufariki pindi kadri itakavyo kuwa ikzidi mwilini.
- Mishipa ya damu Kubana.
Hii huitwa Artheroclerosis ambapo mishipa ya damu hushindwa kupanuka na kupelekea presha ya damu kuongezeka na moyo kwenda mbio huku ukijitahidi kupitisha damu katika mishipa hiyo.
- Macho kutokuona vizuri.
- Figo kushindwa kufanya kazi vuzuri na pengine kufeli kabisa.
- Ukosefu wa Nguvu za kiume na kushindwa kuzalisha mbegu za kiume vizuri na kupelekea Ugumba.
- Kuwa na Vidonda visivyo pona.
- Kisukari pia husababisha Kiharusi (Stroke)
==> NDIO maana huwa tunashauriwa kuangalia afya zetu mara kwa mara ili kujua maendele ya miili yetu.
ILI KUEPUKANA A TATIZO LA KISUKARI...
- Badili mfumo wa maisha kwa kula vyakula vilivyo na lishe kamili na kupunguza matumizi ya sukari kupita kiasi.
- Fanya japo mazoezi kwa nusu saa kwa siku. Ila kama huwa unahisi uvivu basi tembea japo kwa nusu saa kwa siku ili mwili uchangamke na kufanya kuondoa mafuta na sukari zinazo baki mwilini kwa kuzigeuza kuwa nishati ya mwili.
- Epuka matumizi ya Pombe, Sigara na madawa ya kulevya kupita kiasi.
-Epuka matumizi ya vinywaji vya viwandani hasa soda na juices, vinywaji hivi huwa na sukari nyingi sana katika utengenezaji wake.
- Kula matunda angalau aina tatu tofauti tofauti kila siku na mbogamboga.
- Epuka matumizi ya Mafuta mengi hasa yale yatokanayo na wanyama.
- Tumia mafuta yatokanayo na mimea kama alizeti na karanga.
All the best in Your Health
Comments
Post a Comment