UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
UPUNGUFU/UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
Karibu sana ndugu msomaji wangu, Na leo tunaangalia swala zima la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume.
- Katika dunia ya sasa Upungufu wa Nguvu za Kiume ndilo limekuwa tatizo kubwa hasa kwa vijana wengi na kuhangaika huku na huko kutafuta suluhisho.
Hii huwafanya vijana wengi kuanguka katika ndoa, mahusiano na hata kiimani kwa kushindwa kuwa na nguvu za kiume.
NGUVU ZA KIUME NI NINI...?
Nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kuwa na uwezo wa kisimamisha uume na kuweza kuzalisha na hata kujamiiana kwa ufasaha.
SABABU ZA UPUNGUFU/UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
- Msongo wa mawazo.
Msongo wa mawazo unasababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana kupungu kwa hisia za kujamiiana na pengine kumaliza kabisa hizia hizo na mtu kujikuta hana nguvu za kiume.
- Kujichua/Punyeto.
Kujichua hufanya kulegea kwa misuli ya uume kwa kuwa mtu hutumia nguvu kubwa katika kuubinya uume na kuubana mara kwa mara hivyo kusababisha uume kulegea na kushindwa kusimama vizuri.
- Matumizi ya Madawa ya kulevya na Pombe.
Matumizi ya madawa ya kulevya na pombe pia hupelekea kupunguza nguvu za kiume kwa kulegeza mishipa ya damu na kusababisha damu kutofika vizuri katika uume.
- Matumizi ya Sigara.
Sigara ina sumu nyingi ndani yake kuu hasa ikiwa ni NICOTINE ambazo zikiingia kwenye damu hufanya mishipa ya damu kuingiliwa na sumu na hivyo kushindwa kuwa na nguvu kama awali na kupelekea kupungua kwa nguvu za kiume.
- Matumizi ya dawa za kuongeza hamu ya kujamiiana na nguvu za kiume.
Dawa hizi mtu akiwa anatumia mara kwa mara humfanya kuathirika kisaikolojia ambapo anakuwa hawezi kujamiiana bila ya kuwa na dawa hizo. Hatimaye kukosa kuwa na nguvu za kiume.
- Matumizi ya madawa ya kuongeza umbo na urefu wa uume.
Madawa haya huwa na kemikali ambazo huwa na lengo la kukuza uume lakini mwishowe dawa hizi zikisha potea kwenye misuli ya uume hufanya kutokuwa na uwezo wa kusimama kwa kuweka sumu katika mishipa na misuli ya uume.
- Ugonjwa wa kisukari.
Wagonjwa wa kisukari wapo sana hatarini kwa kupata Ukosefu wa nguvu za kiume kwa mishipa ya damu kuingiliwa na sukari inayo fanya kudhoofika.
- SHOTI ya umeme.
Shoti ya umeme huweza kusababisha mshtuko mkubwa sana kwa mtu na kumfanya baadhi ya hisia kupotea kwa muda hasa hisia za mapenzi na kurudi kwakwe kusijulikane muda.
Ndio maana unatakiwa kuwa mwangalifu na umeme.
- Homoni za kiume kuzalishwa kwa uchache.
Homoni za kiume zikizalishwa kwa uchache hupelekea mtu kukosa hamu ya kujamiiana na hata nguvu kupotea na kuwa muathirika wa upungufu wa nguvu za kiume.
- USHOGA.
Mwanaume akisha kuwa shoga au mwenye SILKA za kike hata mfumo wake wa kisaikolojia huathiriwa na tabia hiyo na mtu kutokuwa na uwezo wa uume kusimama na hata hamu ya kufanya mapenzi na jinsia tofauti hupotea na kuwa muhanga wa Tatizo hili.
- Malezi.
Mtoto akiwa analelewa katika jamii iliyo jawa sana na watoto wakike au kuishi na kukaa sana na watoto wa kike hufanya kupoteza hali ya uanaume na hatimaye kuwa kama mtoto wa kike kabisa na hata kushindwa kuwa na nguvu za kiume kabisa.
- Uzito mkubwa.
Uzito mkubwa hufanya kupoteza nguvu za kiume kwa sababu mishipa kujawa na mafuta hivyo kupelekea kushindwa kupitisha damu vizuri.
JUNSI YA KUEPUKA NA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME
- Epuka msongo wa mawazo.
-Epuka kujichua mara kwa mara.
- Epuka matumizi ya sigara, pombe na madawa ya kulevya kupita kiasi.
- Kama ni mzazi ili umuandae mwanao usimuweke katika makundi ya kike kwa sana maana itamuathiri kisaikolojia.
-Fanya mazoezi ili uepukane na Uzito.
- Pendelea kunywa maji mengi na kula mlo kamili.
- Tumia vitunguu saumu na tangawizi mara kwa mara.
Pia unashauriwa kuto kusita kumuona mtaalamu wa Afya hasa kwa maswala ya viungo vya uzazi vya mwanaume.
All the best in your health
Karibu sana ndugu msomaji wangu, Na leo tunaangalia swala zima la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume.
- Katika dunia ya sasa Upungufu wa Nguvu za Kiume ndilo limekuwa tatizo kubwa hasa kwa vijana wengi na kuhangaika huku na huko kutafuta suluhisho.
Hii huwafanya vijana wengi kuanguka katika ndoa, mahusiano na hata kiimani kwa kushindwa kuwa na nguvu za kiume.
NGUVU ZA KIUME NI NINI...?
Nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kuwa na uwezo wa kisimamisha uume na kuweza kuzalisha na hata kujamiiana kwa ufasaha.
SABABU ZA UPUNGUFU/UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
- Msongo wa mawazo.
Msongo wa mawazo unasababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana kupungu kwa hisia za kujamiiana na pengine kumaliza kabisa hizia hizo na mtu kujikuta hana nguvu za kiume.
- Kujichua/Punyeto.
Kujichua hufanya kulegea kwa misuli ya uume kwa kuwa mtu hutumia nguvu kubwa katika kuubinya uume na kuubana mara kwa mara hivyo kusababisha uume kulegea na kushindwa kusimama vizuri.
- Matumizi ya Madawa ya kulevya na Pombe.
Matumizi ya madawa ya kulevya na pombe pia hupelekea kupunguza nguvu za kiume kwa kulegeza mishipa ya damu na kusababisha damu kutofika vizuri katika uume.
- Matumizi ya Sigara.
Sigara ina sumu nyingi ndani yake kuu hasa ikiwa ni NICOTINE ambazo zikiingia kwenye damu hufanya mishipa ya damu kuingiliwa na sumu na hivyo kushindwa kuwa na nguvu kama awali na kupelekea kupungua kwa nguvu za kiume.
- Matumizi ya dawa za kuongeza hamu ya kujamiiana na nguvu za kiume.
Dawa hizi mtu akiwa anatumia mara kwa mara humfanya kuathirika kisaikolojia ambapo anakuwa hawezi kujamiiana bila ya kuwa na dawa hizo. Hatimaye kukosa kuwa na nguvu za kiume.
- Matumizi ya madawa ya kuongeza umbo na urefu wa uume.
Madawa haya huwa na kemikali ambazo huwa na lengo la kukuza uume lakini mwishowe dawa hizi zikisha potea kwenye misuli ya uume hufanya kutokuwa na uwezo wa kusimama kwa kuweka sumu katika mishipa na misuli ya uume.
- Ugonjwa wa kisukari.
Wagonjwa wa kisukari wapo sana hatarini kwa kupata Ukosefu wa nguvu za kiume kwa mishipa ya damu kuingiliwa na sukari inayo fanya kudhoofika.
- SHOTI ya umeme.
Shoti ya umeme huweza kusababisha mshtuko mkubwa sana kwa mtu na kumfanya baadhi ya hisia kupotea kwa muda hasa hisia za mapenzi na kurudi kwakwe kusijulikane muda.
Ndio maana unatakiwa kuwa mwangalifu na umeme.
- Homoni za kiume kuzalishwa kwa uchache.
Homoni za kiume zikizalishwa kwa uchache hupelekea mtu kukosa hamu ya kujamiiana na hata nguvu kupotea na kuwa muathirika wa upungufu wa nguvu za kiume.
- USHOGA.
Mwanaume akisha kuwa shoga au mwenye SILKA za kike hata mfumo wake wa kisaikolojia huathiriwa na tabia hiyo na mtu kutokuwa na uwezo wa uume kusimama na hata hamu ya kufanya mapenzi na jinsia tofauti hupotea na kuwa muhanga wa Tatizo hili.
- Malezi.
Mtoto akiwa analelewa katika jamii iliyo jawa sana na watoto wakike au kuishi na kukaa sana na watoto wa kike hufanya kupoteza hali ya uanaume na hatimaye kuwa kama mtoto wa kike kabisa na hata kushindwa kuwa na nguvu za kiume kabisa.
- Uzito mkubwa.
Uzito mkubwa hufanya kupoteza nguvu za kiume kwa sababu mishipa kujawa na mafuta hivyo kupelekea kushindwa kupitisha damu vizuri.
JUNSI YA KUEPUKA NA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME
- Epuka msongo wa mawazo.
-Epuka kujichua mara kwa mara.
- Epuka matumizi ya sigara, pombe na madawa ya kulevya kupita kiasi.
- Kama ni mzazi ili umuandae mwanao usimuweke katika makundi ya kike kwa sana maana itamuathiri kisaikolojia.
-Fanya mazoezi ili uepukane na Uzito.
- Pendelea kunywa maji mengi na kula mlo kamili.
- Tumia vitunguu saumu na tangawizi mara kwa mara.
Pia unashauriwa kuto kusita kumuona mtaalamu wa Afya hasa kwa maswala ya viungo vya uzazi vya mwanaume.
All the best in your health
Comments
Post a Comment